ZoyaPatel

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta ya Petroli na Dizeli

SohaniSharma

EWURA imetangaza Bei Kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli zilizoanza kutumika hapa nchini kuanzia Jumatano ya tarehe 5 Februari, 2025, saa 6:01 usiku.

Wafanyabiashara wa rejareja na jumla wanatakiwa kuuza mafuta kwa bei zilizoidhinishwa na EWURA pekee na yeyote atakayekiuka AGIZO hili atachukuliwa hatua kali kwa mujibu wa sheria.

   

Ahmedabad
Hyderabad
Previous Post Bangalore Next Post

نموذج الاتصال