Bangalore
Ewura yatangaza bei mpya ya Mafuta ya Dizeli na Petroli mwezi Machi, 2025
Daima pamoja Nawe | Hatukuachi
SohaniSharma
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano ya tarehe 05 Machi 2025 saa 6:01 usiku.


