Bangalore
Dkt. Biteko amwakilisha Rais Samia uwekwaji wakfu Askofu Mteule Jimbo la Iringa
Daima pamoja Nawe | Hatukuachi
SohaniSharma
Ahmedabad
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na Askofu wa Mafinga, Mhashamu Vincent Mwagala wakati alipowasili katika Ibada ya kumsimika na kumuweka wakfu Askofu wa Jimbo la Iringa, Mhashamu Romanus Mihali iliyofanyika katika Viwanja vya Kichangani, Mjini Iringa, Aprili 27, 2025.
Dkt.
Biteko anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia
Suluhu Hassan katika Sherehe za kuwekwa wakfu Askofu Mteule, Romanus Elamu
Mihali kuwa Askofu wa Jimbo la Kitume la Iringa.
Ahmedabad




.jpg)

